AJALI MBAYA MKOANI MBEYA LEO: WATU ZAIDI YA 19 WAFARIKI

By
Advertisement
Ajali ya Hiace imeua watu 24 eneo la Uwanja wa ndege Kiwila Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya.

Wadau Niko eneo la tukio, mpaka sasa miili 22 imefanikiwa kutolewa. Kwani Hiace hii ilidumbukia mtoni na bado miili miwili imenaswa, ndo inatolewa muda huu.

Watu wawili tu ndio wamepona akiwemo kondakta. Ajali hii imetokea wakati Coaster zinazofanya safari zake kati ya Mbeya na Kyela kugoma hivo baadhi ya hiace za mjini kuamua kubeba abiria. Inaonekana ni ugeni Wa barabara, speed na gari kukosa break za kuaminika.

Inauma sana.


Quote By MLIPAKODI View Post
Poleni sana inasikitisah sana. Mungu walaze mahaili pema peponi.
Name:  1429258378794.jpg
Views: 0
Size:  125.7 KB




Name:  IMG-20150417-WA0021.jpg
Views: 0
Size:  89.7 KB

Gari lililobeba Maiti likishusha Miili kuipeleka Chumba cha kuhifadhia Maiti.
Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name:	IMG-20150417-WA0012.jpg 
Views:	0 
Size:	86.7 KB 
ID:	244220
Name: IMG-20150417-WA0012.jpg  Views: 0  Size: 86.7 KB  ID: 244220" />   Click image for larger version. 

Name:	IMG-20150417-WA0014.jpg 
Views:	0 
Size:	84.8 KB 
ID:	244221  

Picha 4 kutoka kwenye ajali ya gari iliyoua 19 Mbeya leo.

ajali MbeyaAjali za Tanzania kwenye vichwa vya habari zimezidi kuongezeka, leo April 17 2015 ajali nyingine imetokea Mbeya baada ya gari la abiria kupoteza mwelekeo na kuingia mtoni Mbeya.
Taarifa zilizothibitishwa na kamanda wa Polisi Mbeya zinasema waliofariki mpaka sasa ni 19, endelea kukaa karibu na millardayo.com kwa taarifa zaidi.
ajali 2
ajali 3
Ajali 4

0 comments:

Post a Comment

Pages