ARSENAL FC YATEMBELEA PSPF KWA LENGO LA KUSAKA FURSA ZA MAHUSIANO YA KIBIASHARA
Mkurugenzi
Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu akimkabidhi zawadi Mkurugenzi wa
Mahusiano ya kimaendeleo wa Klabu ya Arsenal Bw. Sam Stone (Kulia) ,
kushoto ni Bw. Daniel Willey, Meneja wa Mahusiano ya Kimaendeleo ya
Arsenal.
Mkurgenzu Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu (kushoto)…
Mkurgenzu
Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu (kushoto) akimkabidhi zawadi Afisa
Mtendaji Mkuu wa EAG Group, Bw Imani Kajura ambaye ni mwenyeji wa
maafisa kutoka klabu ya Arsenal ambao wapo nchini kwa ajili ya kukutana
na wadau mbalimbali kwa lengo kufungua mahusiano ya kibiashara.
0 comments:
Post a Comment