Meneja wa Mbuga ya
wanyama ya Selous, Benson Kibonde akimpatia maelezo kuhusu masalia ya
injini ya mvuke iliyoachwa na Wajerumani, kwa Waziri wa Maliasili na
Utalii Lazao Nyalandu (kushoto), waziri huyo alipofika katika mbuga
hiyo, kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kupokeavifaa vya kukabiliana
na ujangili vilivyotolewa na serikali za Marekani na Ujerumani kwa ajili
ya Mbuga ya Selous leo…
WANANCHI WA MAENEO YA MIRADI YA MAJI WATAKIWA KUTOZEMBEA KUJADILI MAENDELEO YA MIRADI
Posted by GLOBAL on January 22, 2015 at 11:22am
0 Comments
0 Likes
0 comments:
Post a Comment